Thursday, November 14, 2013

COMPUTER COURSE



Utangulizi
Hatimaye kilio cha wadau wa Hekima kuletewa   mafunzo ya Computer kimesikika sasa.  Tumekuja tukiwa kamili na watalaam waliobobea katika kufundisha Computer.
Kozi hii ni kwa ajili ya Waliomaliza darasa la saba, Form Two, Form Four, Form Six na Chuo pamoja na Wafanyakazi walio kazini
Jinsi ya kujiunga
  1.  Jaza Form kwa Tshs. 5,000/= 
  2. Ada hulipiwa kwa kila Programme utakayoisoma. 
  3.   Unatakiwa kulipia Tshs. 2,000/= kwa ajili ya kitini (Pumphlet) ya programme hiyo. 
  4.  Kitini utapata kwa Mwalimu
COMPUTER APPLICATION PROGRAM
  •      Intro to Computer
  •      Ms-Word 2003:2007
  •     Ms-Excel 2003:2007
  •     Ms-Acess 2003:2007
*    @Tshs 20,000 kwa wiki mbili (Two weeks)
  •      Ms-Power point
  •      Ms-Publisher
**    @Tshs 25,000 kwa wiki mbili (Two weeks)
       OTHER PROGRAMS
  •       Adobe page maker
  •      Coral draw
  •      Mara 3 D 6
*    @Tshs 30,000 kwa wiki mbili (Two weeks)
  •       Photoshop----------- Tshs 35,000 kwa wiki mbili (Two weeks)
  •       Sierra Print Artist-------Tshs 20,000 kwa wiki mbili (Two weeks)
     NB: Kwa mwezi mmoja ni Tshs 100,000
     Muda wa Masomo: Saa 3 asubuhi - Saa 2 usiku
     Vipindi ni masaa mawili kwa siku.

TANGAZO LA MUHULA MPYA 2013/2014


HEKIMA UPLAND ACADEMIC CENTRE

Ni kituo chenye magwiji na watalaamu waliobobea katika tasinia ya elimu kwa kada mbalimbali za sekondari na wenye uzoefu wa zaidi ya miaka  kumi. 

Kwa kipindi hiki tumeaminiwa na kusaidia wengi katika ngazi ya QT, O’Level (III – IV) au PCS na kidato cha Sita (Advanced Level) kutokana na matokeo mazuri hadi kupelekea wanafunzi wetu wengi kufika ngazi ya vyuo yaani “Certificate” Diploma na wengi zaidi ngazi ya Chuo Kikuu (Degree).

Kwa mara nyingine tena HEKIMA UPLAND TRAINING CENTRE inawatangazia wadau wake wote kuwa muhula mpya wa masomo (New Intake) 2013/2014 utaanza rasmi tarehe 18/11/2013 kwa PC’s & QT na A’ Level ni tarehe 28/11/2013. 

Tunao walimu wa kutosha wenye sifa stahiki ambao wamedhamiria kuwapa wanafunzi kile walichofuata HEKIMA.Tuna utaratibu wa kila wiki kuwafanya wanafunzi wajipime na muda wote kuwa “busy” na shule. 

Pia tunatoa course za computer kwa wahitaji kwa ngazi mbalimbali. Bei zetu ni nafuu sana ukilinganisha taaluma itolewayo Hekima na idadi ya masomo yaliyopo.

Tupo Buguruni (Hekima Primary School) pia matawi yetu Buguruni Madenge Mtaa wa Chile.